المدة الزمنية 3:39

Kijana mmoja aendesha maisha yake kwenye handaki

بواسطة ITV Tanzania
101 228 مشاهدة
0
310
تم نشره في 2013/12/18

Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Chacha Makenge anaishi na kuendesha maisha yake katika handaki alilolichimba katikati ya pori lililopo katika eneo la chuo kikuu jijini Dar es Salaam kwa miaka minne sasa,huku akiitaka serikali kuwa na utaratibu wa kuratibu shuguli za vijana ili kulinda amani na usalama wa taifa.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 57