المدة الزمنية 2:19

BABA AMCHAPA MWANAYE WA MIEZI SITA MPAKA KUMSABABISHIA KIFO.

بواسطة Star TV Habari
69 مشاهدة
0
0
تم نشره في 2021/05/28

Polisi mkoani Mara inamshikilia mtu mmoja aitwaye Manyama Masinde Mjora mkazi wa Kwangwa B Manispaa ya Musoma mkoani Mara kwa tuhuma ya kumuadhibu mwanae mwenye umri wa miezi sita na kumsababishia kifo.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0