Shambulio La Kujitoa Mhanga Nchini Somalia Limesababisha Mauaji Ya Watu Kumi Huku Wengine Zaidi Ya Ishirini Wakijeruhiwa Katika Mji Mkuu Wa Nchi Hiyo Mogadishu Jumanne (Juni 15).
Shambulio Hilo Bado Halijadaiwa Na Kundi Lolote, Lakini Wapiganaji Wakiislam Wa Alshabab Wanashukiwa.
Tafadhali SUBSCRIBE kupata uhondo zaidi
#Taswira_Kimataifa
#Somalia
#AungSanSuuKyi
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 0
مقاطع الفيديو ذات الصلة على TASWIRA KIMATAIFA : Watu 10 waaga dunia kufuatia shambulizi la kujitoa mhanga nchini Somalia: