#teacherd #necta #nectaonline #kumbukumbu #somogumu
JINSI YA KUSOMA SOMO GUMU|Jinsi Ya kutunza kumbukumbu na kulipenda somo na kukariri haraka|#necta
Kila mwanafunzi huwa na lile somo ambalo kwa sehemu moja au nyingine linakuwa gumu kwake
sio wewe peke yako...asilimia 90 wanafunzi wote kama sio 98 wanachangamoto kama iyo ya kukutana na somo gumu katika elimu yake
LEO NIMEKUSOGEZEA MBINU 7 ZA KUKUWEZESHA KULIPENDA SOMO ILO GUMU
Mbinu hizo ni;
1) Lipende somo na kulipatia kipaumbele zaidi
Kama ulikuwa unalisoma mara moja ua marambili kwa wiki sasa anza kulisoma takribani kila siku
2)mpende mwalimu
3)jenga ukaribu kwa wanafunzi wenye uwezo na somo ilo
na nyinine nyingi...
pleasea usiacheku subscribe kwenye channel yangu