المدة الزمنية 2:27

Utafiti waonyesha watoto huenda wakageuka kuwa bongo lala wakiendelea kukaa nyumbani

بواسطة Citizen TV Kenya
2 982 مشاهدة
0
21
تم نشره في 2020/07/14

Kuendelea kukaa nyumbani kwa watoto wa shule huenda kukaathiri pakubwa uwezo wa wanafunzi kusoma watakaporejea shuleni. Utafiti wa hivi wa shirika la kibinafsi la PAL unaonyesha kwamba katika kila watoto kumi walioko madarasa ya chekechea, wanne miongoni mwao hawana uwezo wa kufanya hesabu rahisi, huku ikihofiwa kuwa huenda watoto hao wakasahau kila kitu walichokuwa wamesoma kabla ya janga la corona.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 6