Natanguliza Huu Ushahidi, Ili Kuonyesha Mpango wa Magufuli na Mabuffoons zake wa Kujiuzia Majengo ya Wizara Dar es salaam. Magufuli Ni Fisadi anayeona Mbali sana. Ameshajichagulia yake Mnamsikia Mwenyewe. Wameshasajili Makampuni Brela,
Issue Iko Hivi, Wakati wa Mnada Kampuni shadowy Inayomilikiwa na Magufuli wanaweza wakapandisha Dau hata Mara 2 zaidi ya Wanunuzi wa Kweli, Kisha wakienda Kulipia Wanamlipa Doto James Kile walichokubaliana hata Wakinunua Jengo zima la Wizara Kando ya Bahari kwa Milioni 10, Utawafanya Nini? Utasema naongea Utumbo Mnakumbuka Maigizo ya Dr, Shika? Unadhani yule alijipeleka tu?
Jiulize Ni Kwanini, Wanataka Kumg'oa CAG? Huyo Ndiye Nuksi Iliyobakia. Kama Wanabisha Waseme.
@ThobiasMaranduمنذ 5 سنوات Hii Ndio Video ya Rais Magufuli akisema Atapiga Majengo Mnada! Na Majuha kama Kawaida yangashangilia. (The hell aliposema atapiga Mashangazi, yapo manguruwe yaliyoshangilia, Aliposema Polisi wakamate Wamama na Watoto Kukata Mashamba ya Bangi yapo Mafisi yaliyoshangilia, Only in Africa! ....وسعت10
@
@billgussy6099منذ 5 سنواتThe innocent people like Tundu Lissu will not perish the Lord will protect them and He will punish their enemies without delay because he is the Lord of Revenge! 5
@
@ThobiasMaranduمنذ 5 سنواتNatanguliza Huu Ushahidi, Ili Kuonyesha Mpango wa Magufuli na Mabuffoons zake wa Kujiuzia Majengo ya Wizara Dar es salaam. Magufuli Ni Fisadi anayeona id="hidden3" class="buttons"> Mbali sana. Ameshajichagulia yake Mnamsikia Mwenyewe. Wameshasajili Makampuni Brela, Issue Iko Hivi, Wakati wa Mnada Kampuni shadowy Inayomilikiwa na Magufuli wanaweza wakapandisha Dau hata Mara 2 zaidi ya Wanunuzi wa Kweli, Kisha wakienda Kulipia Wanamlipa Doto James Kile walichokubaliana hata Wakinunua Jengo zima la Wizara Kando ya Bahari kwa Milioni 10, Utawafanya Nini? Utasema naongea Utumbo Mnakumbuka Maigizo ya Dr, Shika? Unadhani yule alijipeleka tu? Jiulize Ni Kwanini, Wanataka Kumg'oa CAG? Huyo Ndiye Nuksi Iliyobakia. Kama Wanabisha Waseme. ....وسعت8
@
@hilalalmahrooqi167منذ 5 سنواتWw labda huijui buligi kunawanyama wengi alichofanya magu ni kizalendo hamna hufisadi ni sawa kabsa buligi ilitakiwa iwe national park 6
@
@mushken65منذ 5 سنواتNakusiikiza hapa Kenya.Ndiyo umesema. Weka evidence imumaljze kabisa. Lakini hapa Mimi naona unaongea general talk kama wananchi wa kawaida. Wewe ni investigator. Toa critical links zimbane 9
@micamathew6433منذ 5 سنواتNatamani sana chadema wachukue uongozi wa nchi, ili tuone kama ninyi mtakuwa watakatifu kiasi gan 15
@
@paulosamson2منذ 5 سنواتPrinciples za Mwinyi za Ruksa ndo unataka zitumike au 2
@
@mtatiromgeka7270منذ 5 سنواتivi mnakuaga ninyi mnaotumiwa bila au kujiriza nchi yk ni ipi na ht km ww utapata pa kwenda ni je ulisha kujiuliza Bibi mama shngazi kka na ngd zk wao watenda baada ww kuharibu. mmhhh 5
@shadadiabdul6689منذ 5 سنواتYaani kwakua ww hapo ulipo uko kwa Weupe ata sura basi we una we angalia sehemu ulipo pazuri kwahiyo utaki hata kwetu kupendeza.Sisi hatufatilii wakimbizi 13
@
@abrahamhassan351منذ 5 سنواتGood stuff ndugu Marandu mungu akupe umri na akulinde na waovu 7
@
@robertdaud9894منذ 5 سنواتOooh my God take back Thobias to the hell and bring back Ruge 10
@
@yusufukazamba2391منذ 5 سنواتKwa Siku nyingi huwa wanajifanya wajinga ila Siku wakigundua huwa mithiri ya wanyama
@
@danielphilipo9088منذ 5 سنواتPumbavu sana wewe, Mwache Rais wetu afanye kazi 7
@
@harunmruma2291منذ 5 سنواتRaisi wetu hana pesa huko unaposema, mmeshikwa pabaya 9
@
@natosimchimba6844منذ 5 سنواتMtapata shida sana, mshahara anaoupata unataka akajenge mbinguni, vilevile yy n raisi lazima awe na makazi bora nahaiwezekan ukawa mtumishi ukasahau kwenuuu, kwanza hiyo iko openi ni faida kwawananchii na taifa.. 6
@
@edwardmagori6630منذ 5 سنواتUnapandikiza chuki zisizo Na maaana kaa kmyaaaaaa 6
@
@ngajangaja6640منذ 5 سنواتMungu tuvushe kwenye mtihani huu braza tobiasi mungu akupe afya njema ili utujulishe mengi 11
@
@dominicmawala5614منذ 5 سنواتWe ni masikini wa kifikra, hujajipanga usituletee ukabila shetani mmoja wewee!! Kafie mbali nakingereza chako cha kuokota 9
@
@rammadhanindemeye9908منذ 5 سنواتWewe Acha ujinga na ubnafsi wa kichaga una taka kila kitu kijengwe moshi 7
@
@billgussy6099منذ 5 سنواتUkirusha jiwe gizani ukasikia kelele ujue limewapata. Wote wanao tukana limewapata tena kichwani. 15
@
@dicksonsheja251منذ 5 سنواتWewe marandu NYOKO SANA WEWE UNAMFAHAMU MBOWE NA LISU TU !TANZANIA HUIJUI PIA RAIS WETU JPM HUMFAHAMU !!! NYANOKO MADAKO GA NG'WASO 14
@collincarlos7433منذ 5 سنواتMbwa wew unatuthibishia kuwa Lissu ni nyoka 3
@
@micamathew6433منذ 5 سنواتBut nakuunga mkono, mana unayosema ni kweli 5
@
@muhidinijuma1354منذ 5 سنواتWw ndo juha namba moja unataka ww ndo uuziwe 3
@
@Luhende1منذ 5 سنواتwewe ni mpuuzi mtupu, acha wivu! na wewe gombea urais ufanye yako! 8
@
@hassannyalile2256منذ 5 سنواتNi bora uendelee kuongea ukiwa umejificha hivyo hivyo, ama ni mti unaongea? 6
@
@rasnchimbiمنذ 5 سنواتWatanzania wameshaelewa kila kitu!hawadanganyiki kamwe 6
@
@fredreckmwakalinga3475منذ 5 سنواتNi upumbavu kutoa matusi, jibu kwa hoja ukishindwa nyamaze hatuhitaji matusi 2
@
@williamngazija7284منذ 5 سنواتHuyu jamaa mpuzi kwel, ww kwa uelewa na hakiri zako za matakoni, Unaropoka mwenyewe kiswahiri utafikili umemeza chura, kujenga uwanja chato, kwani chato iko wapi, ipo ndani ya Tz, haya ni maendeleo ya kazi. 4
@
@princeanselimo4503منذ 5 سنواتHuyu pombe ni fisadi mkuu kuliko hata shetani. Na anaroho mbaya kuliko ibilisi mwenyemkia wa kijani 3
@
@allykivike7228منذ 5 سنواتAcha kupotosha watu pumbavu huna lakuwaambia watu 6
@
@godfreymasele558منذ 5 سنواتMzushi na muongo wewe jitokeze hadharani usiwekama nguchiro . wadanyanye manyumbu wenzio hats wewe nifisadi mkubwa shetani mkubwa wewe ushindwe na ulegee kwa Jina la Yesu . mnafiki mkubwa. 9
@
@Gamba177منذ 5 سنواتMakufuli anafaa anyongwe mpaka afe fisadi makufuli na muuwaji mkubwa linaroho mbaya jambazi hili. 3
@
@williamngazija7284منذ 5 سنواتHuyu jamaa yakundo mkubwa wa mawakara shetani wa Chadema, Jitokeze hapa tanzania hiyo sauti ya kichanga itakuwa chupi mchaniko. Pumbavu cn muache rais wetu. 6
@
@paulosamson2منذ 5 سنواتShida yako unawaza Tundulisu tu sijui ni mke wako kwanza yy anakula bata tu huko majuu utakoma
@
@princeanselimo4503منذ 5 سنواتWana ccm wengi ni viraza wa akili na asilimia kubwa huwa wana kansa ya akili pimbi hawa eti unamkuta mtu anakoment eti anamkosoa huyu jamaa brother umeongea point na ukweli mtupu ccm ni makatili mnoo mbwa hawa 6
@
@kaundajulieth1741منذ 5 سنواتWe mchanga Magufuri ataongezewa mihula 4!sasa kwa akili yako unataka afanyrje wakati makao makuu yamehamishwa.omba wachaga wakaishi hump bure! Kama ofisi. I zimehama 1
@
@fortunatuswangubo6013منذ 5 سنواتWewe ndio fisadi mkubwa kwahiyo wivu ndio unakusumbua
@majaliwahassan928منذ 5 سنواتWewe booooo just msemaji wa wafisadi kama Lisu na chadema ngoja siku yenu ya utawala iwadie tuwaone kama mtaweza chochote duhhh 5
مقاطع الفيديو ذات الصلة على Ufisadi Mbaya Kuliko, Gbadolite ya Chato, Watajiuzia Majengo ya Wizara Dar.:
Mwache Rais wetu afanye kazi 7