WEMA SEPETU, MAMBO USIYOYAJUA KUHUSU MAISHA YAKE
Balozi wa Tanzania isaack Aibraham Sepetu alizaliwa Octobar 15 1943 ni mzaliwa wa Tabora ila alikulia mjini zanzibar,.
mzee sepetu alisoma elimu yake ya msingi na sekondary St. joseph mnamo mwaka 1952 hadi 1963, baada ya hapo mzee sepetu alienda kujiunga na chuo Berlin nchini Ujerumani mwaka 1964 hadi 1970.
huko alisoma shahada yake ya uchumi, alianza kufanya kazi katika serikali ya mapinduzi ya zanzibar mwaka 1971 hadi mwaka 1972 kama mkuu wa Bizanje msaidizi.
lakini mwaka 1982 hadi mwaka 1989 alipewa nafasi ya kuwa Balozi wa tanzania nchini Urusi na mwaka 1989 hadi mwaka1990 alikuwa balozi nchini zaile na huyo ndio baba ake wema na ndio chanzo cha jina sepetu..
Wema Sepetu alizaliwa tarehe 28, September mwaka 1988 katika hosptal ya Dr. Andrew's Wema ni mtoto wa mwisho katika familia ya watoto wanne wa Mzee Abraham Sepetu ,Wema Sepetu ni msichana anayetoka kwenye Familia ya kibalozi amesoma elimu ya msingi hadi sekondari katika shule moja tu iitwayo "Academic International" iliyopo maeneo ya Mikocheni, Dar es Salaam na baadae kwenda Malaysia alipoenda kusomea uongozi wa biashara.
Wema hakufikiria kama atakuja kuwa mmoja kati ya ma-star wakubwa hapa nchini, hadi nchi za nje mpaka siku mmoja alipo kuwa kwenye matembezi yake Sleep Way Masaki alikutana na dada Mange Kimambi na kushawishiwa ashiriki mashindano ya Miss Tanzania 2006...
Wema Sepetu aliibuka kidedea na kuwagalagaza Jokate Kidoti Mwegelo na Lisa Jensen baada ya hapo aliwakilisha Tanzania katika mashindano ya miss ward huko nchini poland Wema alianza kuigiza rasmi mwaka 2007 alipoonekana kwenye filamu ya POINT OF NO RETURN ambapo halicheza kama mke wa jamaa tajiri mchawi ambaye daima huua wapenzi wake wa kike kama sadaka.
lnstal GlobalPublishersApp Android: http://bit.ly/2AAQe1d iOS: http://apple.co/2Assf4M Subscribe /c/uwazi FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis ...
TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe /c/uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… /c/uwazi1/c/uwazi1/c/uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis ... TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari INSTAGRAM: https://www.instagram.com/globalpubli ..
@rugurujohn8905منذ 6 سنواتShe is a reall queen i love her so much. She has brains she is beautiful she is a star that makes other stars shine more. It would be so nice for her to id="hidden1" class="buttons"> marry Chibu coz thats the true love there. All the best Wema TZ sweetheart African queen ....وسعت16
@
@sarafinaayieta8002منذ 4 سنواتI love this girl soo muchshe inspires me a lot. 5
@
@madmoisellefrancis9222منذ 6 سنواتNampenda Sana'a Huyo Madam amejitahid kufanya maisha yake kuwa hapo yalivyo changamoto za kimapenzi n kawaida hivyo wanaomsema vby huwa cwaelewi kabisaaa, id="hidden2" class="buttons"> keep going madam Wema Mwenyez Mungu akujalie kwa kila jambo ulifanyalo inshaalaah ....وسعت12
@
@silviammasa8338منذ 6 سنواتI just love her!!!! No matter if I know her or not. Big up love 12
@
@rugurujohn8905منذ 6 سنواتI just like the way she loved chibu before akuwe star but wema was star already thats true love there coz most people see Diamond now but before Diamond id="hidden3" class="buttons"> there was Nasheeb who Wema loved but now he is Diamond watu wamfuata haya maisha jameni. I pray u marry chibu n get a baby all the best una roho nzuri sana mami pamoja na kuwa star bado roho safi sana ....وسعت10
@
@mumcyn7115منذ 6 سنواتI love Wema so much. I hope and pray that one day they will be together with Diamond 18
@
@aminamtondo1816منذ 6 سنواتmungu amlinde sister wema hakuna wa kumtegemea zaid yake Subhanna, xo kikubwa amtegemee yy love u wemaaaa 18
@
@ireneranga7024منذ 6 سنواتDada uko vizuri jmn toka saut hadi flows mwaaaaaah nimekupenda balaaaaaaa 5
@hamidaoman8946منذ 4 سنواتNakupenda sana wema kilasiku nafikiliaga uweze kuludiana na diamond mumetoka mbali Sana nawaswahili wanasema ukipata chombo kipya usisahau chazamani nakuusu kuzaa utaza ishallah wakatiwako hujafika mama 1
@
@happinessmataluma1948منذ 6 سنواتmaisha ya wemaa ni meyapenda sanaaa nice wemaa 8
@
@angelmirindi2234منذ 6 سنواتWema pole sana dada unatoka mbali mwenyezi Mungu akurudishie haja ya moyo wako munatoka mbalina diamond 1
@
@leilashaban3519منذ 6 سنواتNakupenda sana tz sweetheart madam wema Isaac sepetu rudi kwa nasibu abduli mnapendezana mkiwa pamoja ludisha moyo nyuma achana na zari na move to wanasafiria nyota yako 1
@mwanaidimwabitibongo8724منذ 6 سنواتnitawapenda daima mondi na wema i lov u 1
@
@zuhurazabiir3769منذ 2 سنواتWema ana moyo sana daimond kumbuka bila wema mm nisingekujua 1
@
@rashidhemedrashid5269منذ 5 سنواتMie sijakupenda ww mtangazaji kwa kweli 1
@
@deokisite1046منذ 6 سنواتPronounce words vizuri,, tumia kiswahili usijifanye kuzungumza km mzungu wew mtangazaji 6
@
@ramadhanjafari7491منذ 6 سنواتumeji taidi kusimulia inavyo takiwa hongela sana dada
@
@baudunekwizera6842منذ 5 سنواتAmeisha tapika asirudishe bitapikisho mu kinywa, uyo diamond siyo mume, ajibakiliye kwa uyo baba ujauzito mungu atawakumbuka watazaa tu
@
@mimaakenirram1405منذ 5 سنواتMadam sepenga nakupenda kumbe joket mkubwa kwa wema pia napenda sana wakiwa na diamond
@
@rizikimussa3944منذ 6 سنوات!! bas jaman rakini usjar bdosana utazaatu rakiniurifanya vibaya kutoa miba mwanadad 7
@
@princenthoki3507منذ 6 سنواتWanadamu tunaudhaifu wakuongea ovyo bila kuelewa.wema amenenewa mengi mabya kutukanwa eti ni tasa mambo mengi bila kuchunguza na kujua mwanzo wake.sipendi id="hidden6" class="buttons"> mtu mwenye kuongea mabaya kuhusu mtu twastahili kuomba mungu ili kila kitu kiwe sawa.mie si mtanzania lkn nampenda sana wema ....وسعت1
@
@ngemabohero2853منذ 6 سنواتwema sio mgomba dad muda bado muda ukifika utabeba kwa uwezo wa mungu. 2
@omanioman8952منذ 6 سنواتKumbe ni mdogo Maskini kuliko zari Wanamuita Ooo mtu mzima kumbe wala sio mtu mzima ni mwili tu maskini nampenda sana wema na diamonds 19
مقاطع الفيديو ذات الصلة على PROFILE: WEMA SEPETU, MAMBO USIYOYAJUA KUHUSU MAISHA YAKE:
Maskini kuliko zari
Wanamuita
Ooo mtu mzima kumbe wala sio mtu mzima ni mwili tu maskini nampenda sana wema na diamonds 19