المدة الزمنية 30:8

Kitale 'Niliambiwa Sharo Milionea ananiloga kwa mafuta ya uso'

بواسطة Millard Ayo
504 035 مشاهدة
0
2.6 K
تم نشره في 2016/01/26

Kitale a.k.a Mkude Simba ni mwigizaji/mchekeshaji Tanzania na amechukua sifa nyingi kutokana na zile sauti zake za kuchekesha na video fupifupi zilizotambaa Whatsapp akiigiza kama Teja, kwenye hii video hapa chini kaongea jinsi imani za kishirikina zilivyotaka kumkosanisha yeye na Marehemu Sharomilionea pamoja na mengi ya maisha.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 236