المدة الزمنية 15:55

KMC FC 3-0 Gwambina FC | Highlights |

بواسطة Azam TV
3 101 مشاهدة
0
6
تم نشره في 2021/04/20

KMC VS GWAMBINA: Timu ya Manispaa ya Kinondoni, KMC imeifyatua Gwambina FC kipigo cha mabao 3-0 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Magoli ya KMC yamfungwa kipindi cha pili na Charles Ilanfya, Emmanuel Mvuyekure na Ally Ramadhan ‘Oviedo’. Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:- ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/ ►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/ ►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz ►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz ►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 2