المدة الزمنية 9:28

WAGONJWA WA KANSA MMEPATA MKOMBOZI, MFUATILIE DOKTA MANAWA ANAVYOSEMA

بواسطة BILL MEDIA
10 536 مشاهدة
0
75
تم نشره في 2016/08/09

DOKTA HUYU HAPA 0763 175200, 0715 175200, 0787 175200 NA 0622 175200 Na Omary Mngindo, Kibaha/ Pwani/ Tanzania Agost 9 WATANZANIA wametakiwa kukutana na Dokta Bahati Mayala Manawa anayepatikana Kibaha Mailimoja Mkoa wa Pwani kwa lengo la kupatiwa tiba kutokana na ugonjwa wa Kansa....Dokta Manawa anapatikana kupitia namba hizi hapa chini ambazo ni 0763 175200, 0715 175200, 0787 175200 NA 0622 175200 Dokta Manawa alisema kuwa alianza kuvutiwa na tiba hiyo tangu akiwa mdogo katika mji wa Sengerema Kisiwa cha Kome mkoani Mwanza ambako akiwa na umri huo alipenda sana kujihusisha na masuala ya miti hivyo mpaka alipokuwa mkubwa aliendelea kuipenda taaluma ya tiba kupitia miti kabla hajaanza hata shule. Alisema kwamba baadae alifundishwa na babu yake Abdul Salum Masige alijifunza mpaka alipoanza shule na baadae akaingia katika mafunzo ya udaktari na kumaliza kabla ya kuajiliwa serikalini mkoani Ruvuma kwa miaka 15 baadae akaenda jijini Mbeya, Alisema kwamba katika utafiti wake ameona kwamba kuna magonjwa mkubwa ya aina mbalimbali huku akiainisha dawa alizokuwa anazitumia ambapo zilikuwa zinamsaidia sana kuzibaini zile alizokuwa anazitumia kwa mgonjwa ambapo waliobshstika kutumia mpaka hivi sasa haki zao ni nzuri. "Magonjwa ninayotibia ni mengi sana lakini niyataje kwa kifupi sana, natibu Kansa ambao unasumbua sana binadamu waliowengi, watu wanasema kuwa ugonjwa huo hautibiki, nasema si kweli mimi ninatambua tiba yake na nina wagonjwa ambao tayari nimewatibia na sasa wanaendelea vizuri," alisema Dokta Manawa. Aliongeza kwamba kikubwa kwa mgonjwa anayemtibia ni kufuata na kuzingatia maelekezo ya tiba ikiwemo chakula, matumizi ya dawa na masharti anayoyatoa mwa mgonjwa husika. "Ninatibu kansa ya danu, kizazi, yashingo pamoja na magonjwa mengine yanayishindikana kwenye hospitali mbalimbali za hapa nchini, nilishawahi kumtibu mgonjwa pake Chuo Kikuu cha jijini Dar es Salaam na sasa anaendelea na afya njema pia hapa Kibaha kuna ambaye nimempatia tiba na sasa yuko vizuri," alisema Dokta huyo. MWISHO.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 29