المدة الزمنية 9:22

Ni shida kutawala ikiwa wengi hawakuridhika - Dk. Mwinyi

بواسطة Gumzo la Ghassani
52 613 مشاهدة
0
215
تم نشره في 2020/12/12

Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema kuwa ni shida kuongoza nchi wakati watu wengi hawakuridhika na kwa hivyo anamshukuru Maalim Seif Sharif Hamad kwa kukubali kuingia kwenye serikali ya umoja wa kitaifa pamoja naye.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 254