المدة الزمنية 4:45

HAJI MANARA KAANZA VIJEMBE CHAGUO NI LAKO KUPANDA KIMBINYIKO AU SAIBABA

بواسطة Millard Ayo
27 404 مشاهدة
0
108
تم نشره في 2021/01/04

Afisa habari wa Simba SC Haji Manara leo ameongea na waandishi wa habari kuelekea mchezo wao wa marudiano dhidi ya FC Platnum utakaochezwa uwanja wa Mkapa siku ya Jumatano saa 17:00 #EAT Manara ameeleza kuna umuhimu wa Watanzani wote kuisapoti Simba SC sababu wakipita faida kwa nchi kwa points zitaongezeka na Tanzania inaweza kurudishiwa nafasi ya kushirikisha timu nne michuano ya CAF

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 38