Afisa habari wa Simba SC Haji Manara leo ameongea na waandishi wa habari kuelekea mchezo wao wa marudiano dhidi ya FC Platnum utakaochezwa uwanja wa Mkapa siku ya Jumatano saa 17:00 #EAT
Manara ameeleza kuna umuhimu wa Watanzani wote kuisapoti Simba SC sababu wakipita faida kwa nchi kwa points zitaongezeka na Tanzania inaweza kurudishiwa nafasi ya kushirikisha timu nne michuano ya CAF
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 38
مقاطع الفيديو ذات الصلة على HAJI MANARA KAANZA VIJEMBE CHAGUO NI LAKO KUPANDA KIMBINYIKO AU SAIBABA: