المدة الزمنية 4:23

TAZAMA | RAS ARUSHA AKUTANA NA (GFG) KUBORESHA UKUSANYAJI MAPATO

بواسطة Daily News Digital
256 مشاهدة
0
0
تم نشره في 2021/07/27

Serikali imeshirikiana na mradi wa good financial governence program (GFG) kwa lengo la kuimarisha ukaguzi wa fedha kwa kushirikiana na ofisi ya Mkaguzi mkuu na msimamizi wa pesa za serikali (CAG) , pamoja na kuboresha ukusanyaji wa mapato, hili kuweza kutoa uduma kwa wananchi kwa mapato ya ndani yatokanayo na halmashauri za serikali za mitaa. Mradi huo wa awamu ya pili wenye halmashauri takribani 21 mpaka sasa umeanza Agosti mwaka jana na unatarajia kufikia tamati July 2023. Follow us on: FACEBOOK; SpotiLeo: https://www.facebook.com/Spotileo-176 ... HabariLeo: https://www.facebook.com/habarileo/ DailyNews: https://www.facebook.com/dailynewstz/ INSTAGRAM; HabariLeo: https://instagram.com/habarileo_tz?ig ... SpotiLeo: https://instagram.com/spotileo?igshid ... TWITTER; Twitter HabariLeo: https://twitter.com/HabariLeo?s=09

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0