المدة الزمنية 3:34

RC Kunenge awasha moto wizi wa vifaa vya magari Dar

بواسطة Mwananchi Digital
3 189 مشاهدة
0
14
تم نشره في 2021/04/24

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Abubakar Kunenge ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya mkoa huo amesema wamejipanga vizuri kushughulikia vitendo vya wizi wa vifaa vya magari mkoani kwake na kushughulika na wale wote wanaojihusisha na vitendo hivyo na kuhakikisha vinafika mwisho.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 11