Taasisi yakuzuia nakupambana na Rushwa TAKUKURU imerejesha zaidi ya shilingi Bilioni 1.36 ambazo ni fedha za uma na kodi mbalimbali za serikali zilizokuwa zimechepushwa kwa njia ya rushwa nakufanyiwa ubadhirifu na watuhumiwa mbalimbali.
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 68
مقاطع الفيديو ذات الصلة على MKURUGENZI TAKUKURU ATINGA ARUSHA, AREJESHA ZAIDI YA BILIONI 1,RAIS ATAJWA: